HALMASHAURI NCHINI ZATAKIWA KUTOKUWA WABADHIRIFU WA FEDHA ZA MIRADI
Katibu
Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI)
Mhandisi Mussa Iyombe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi
Kukabiliana na Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabia nchi (Decentralized
Climate Finance in Tanzania) leo mjini Dodoma.
Naibu
Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Dkt. Deo Mtasiwa akizungumza wakati wa
hafla ya uzinduzi wa mradi Kukabiliana na Mabadiliko ya Hali ya Hewa na
Tabia nchi (Decentralized Climate Finance in Tanzania) leo mjini Dodoma.
Meneja
Miradi wa Mfuko wa Umoja wa Taifa wa Maendeleo (UNCDF) Bw. Fakri Karim
akiwasilisha mada namna mfuko wao unavyoshiriki katika mradi wa
Kukabiliana na Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabia nchi (Decentralized
Climate Finance in Tanzania) wakat wa uzinduzi wa mradi huo leo mjini
Dodoma
No comments:
Post a Comment