KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 3, 2016

MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI WA KAHAMA WAUPONGEZA MGODI WA BUZWAGI.

Mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Kahama Abel Shija(mwenye skafu) pamoja na
waheshimiwa madiwani na wataalamu wa halmashauri hiyo wakifuatilia
kwa makini maelezo kutoka kwa wataalamu wa Mgodi huo.
Afisa mazingira wa Mgodi wa Buzwagi Bwana Lusajo Njobelo akifafanua jambo kwa
waheshimiwa madiwani na mbunge wa Kahama mjini Jumanne Kishimba
wakati wa ziara hiyo.
Madiwani wakipata maelezo kutoka kwa Marco Peter katika eneo la uchimbaji.
Eneo maalumu la kusagia mawe kabla ya kupelekwa kiwandani kwa ajili ya uchenjuaji wa dhahabu.
Shimo ambalo shughuli za uchimbaji hufanyika kama linavyoonekana.

No comments:

Post a Comment