Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Letshego ya Tanzania Bw. Yohane Kaduma (wa pili kulia) akionyesha nembo na muonekano mpya ya benki hiyo iliyobadilishwa kutoka kutambulika kama Advans Bank kuwa rasmi Letshego Bank. Wanaoshuhudia ni Dru Jayaratne (wa kwanza kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa FAIDIKA Bw. Mbuso Dlamini (wa pili kushoto) na Meneja Rasilimali watu wa benki ya Letshego Bi. Rehema Ngusar.
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Letshego ya Tanzania Bw. Yohane Kaduma akiomwonyesha Mkurugenzi Mtendaji wa FAIDIKA Bw. Mbuso nembo na muonekano mpya ya benki hiyo iliyobadilishwa kutoka kutambulika kama Advans Bank kuwa rasmi Letshego Bank.
No comments:
Post a Comment