Rais
wa Rwanda, Paul Kagame (wa pili kulia) akimkabidhi tuzo ya Mshindi wa
Tatu Sekta ya Mawasiliano na Tehama (ICT) Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni
ya Simu Tanzania (TTCL), Prof. Tolly Mbwette (kushoto) kwenye maonesho
ya 40 ya Kimataifa ya Biashara viwanja vya Mwalimu Nyerere sabasaba
jijini Dar es Salaam. Kulia ni Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli
na Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage (wa pili kushoto)
No comments:
Post a Comment