Meja
Dora Kawawa wa Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa 831 KJ Mgulani
(kushoto), akimkabidhi msaada wa vyakula, Ofisa Mfawidhi wa Makao ya
Taifa ya Watoto wenye shida Kurasini, Beatrice Lawrance, Dar es Salaam
leo jioni , ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 52 tangu kuanzishwa
kwa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), ambapo kilele chake kitakuwa
Septemba Mosi mwaka huu.
Maofisa wa Jeshi wa kikosi hicho wakifurahi na watoto wa kituo hicho baada ya kutoa msaada wao.
Msaada ukitolewa.
Hapa ni furaha pamoja na watoto hao.
Watoto wakipata msaada huo
No comments:
Post a Comment