![]() |
| Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Finland Bw. Simo Pekla Parvianen akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam leo kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi. |
![]() |
| Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania Bi. Monica Patricio Mussa akitoa heshimza zake mara baada ya kusaini kitabu cha Maombolezo katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam leo kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi. |
![]() |
| Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Elitrea Bw. Saleh Azaril |
![]() |
| Kaimu Balozi wa Burundi nchini Tanzania Bw. Pierre Ndayishimiye |
![]() |
Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Angola Bw. Joel Cumbo
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Selikarini, Ofisi ya Makamu wa Rais.
|







No comments:
Post a Comment