Mbunge
wa Ileje Mh Janet Mbene, akiwa na watendaji wa Halmashauri hiyo
akikagua sehemu ya juu ya jengo jipya la Hospitali ya Wilaya ya Ileje
Ksata ya Itumba inayojengwa kwa pesa za Serikali ya Tanzania
Mganga mkuu wa Hospitali ya Ileje akitoa maelezo kwa Mbunge wa Jimbo hilo Mh Janet Mbene alipokuw akaikagua ujenzi wa jengo jipya la Hospitali hiyo
Mbunge wa Ileje Mh Janet Mbene akitoa pole katika wodi ya Wanawake amabao walibahatika kujifungua kwa Upasuaji katika Hospitali ya Wilaya ya Ileje.
Mganga mkuu wa Hospitali ya Ileje akitoa maelezo kwa Mbunge wa Jimbo hilo Mh Janet Mbene alipokuw akaikagua ujenzi wa jengo jipya la Hospitali hiyo
Mbunge wa Ileje Mh Janet Mbene akitoa pole katika wodi ya Wanawake amabao walibahatika kujifungua kwa Upasuaji katika Hospitali ya Wilaya ya Ileje.
No comments:
Post a Comment