Mkuu wa wilaya ya Arusha,Gabriel
Daqarro akiwa ameshika Mwenge wa Uhuru uliopokelewa leo katika Jiji la
Arusha eneo la Kisongo kwaajili ya kukimbizwa kwa siku moja katika urefu
wa Kilometa 81.19 katika Tarafa tatu.
Mkurugenzi wa Jiji la
Arusha,Athumani Kihamia akipokea Mwenge wa Uhuru ambao utakimbizwa ukiwa
unaelimisha na kueneza ujumbe wa “Washirikishwe na Kuwezeshwa” ujumbe
huo ukiwa umeambatana na kauli mbiu “Vijana ni Nguvukazi ya Taifa
Washirikishwe na Kuwezeshwa”
No comments:
Post a Comment