KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

August 19, 2016

WAZIRI ANGELLAH KAIRUKI AFUNGUA MKUTANO WA KAZI WA MFUKO WA TASAF MKOANI ARUSHA



Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora,Angellah Kairuki akifungua mkutano wa Mfuko wa Maendeleo ya
Jamii(Tafas)walioketi ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo,Ladislaus
Mwamanga na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Meck Sadick.

Wakuu
wa wilaya kutoka mikoa mitano ya Singida ,Manyara,Arusha,Kilimanjaro na
Tanga wakiwa kwenye mkutano wa Kazi wa kupata uelewa zaidi wa mfuko wa
Tasaf.

No comments:

Post a Comment