KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 30, 2016

MAKAMU WA RAIS KUONGOZA UPANDAJI MITI KESHO JIJINI DAR

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza leo na waandishi habari juu ya upandaji miti utaozinduliwa kesho,jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka Globu ya Jamii)

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa upandaji miti Mkoa wa Dar es Salaam.
Akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema upandaji wa miti unaanza kesho hivyo kila mwananchi wa Dar es Salaam anatakiwa kupanda mti mmoja ikiwa ni kwa ajili ya ustawi wa afya.

No comments:

Post a Comment