KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 27, 2016

WATAALAM WA JIOLOJIA WAFANYA UPEMBUZI WA UJENZI WA SHULE YA IHUNGO

usa1
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof.Abdulkarim Mruma akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.
usa2
Mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Jiolojia akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.
usa3
Mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Jiolojia akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi ramani ya maeneo katika maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.

No comments:

Post a Comment