KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 6, 2016

DC MTATURU AWAAGIZA VIONGOZI WA VIJIJI VYOTE KUSOMA MAPATO NA MATUMIZI NDANI YA WIKI MOJA

1
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akizungumza na wakazi wa Kata ya Ntuntu wakati kwenye mkutano wa hadhara wakati wa ziara yake Wilayani Ikungi
Wananchi wa Kata ya Ntuntu wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi Rustika Turuka akisisitiza jambo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Ikungi kuwahutubia wananchi wa kata ya Ntuntu
Kaimu katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungi Dandala Mzunguor akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa hadhara kabla ya kumkaribisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi Rustika Turukaili naye amkaribishe Mkuu wa Wilaya ya Ikungi kuwahutubia wananchi wa kata ya Ntuntu
Wananchi wakimsikiliza kwa Makini Mkuu wa Wilaya akitoa maagizo ya mpango wa maendeleo ya Wilaya

No comments:

Post a Comment