KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 28, 2016

EXIM YAJITANUA HADI TEMEKE

Akizungumza katika uzinduzi huo, Mkuu wa Kitengo cha Fedha wa Benki ya Exim, Seleman Mponda amesema kwasasa wamedhamiria kuboresha huduma zao katika maeneo mbalimbali na kuahidi wateja kuendelea kuwapatia huduma bora.

“Benki yetu inaendelea kufanya vizuri na tumejipanga kuendelea kuboresha huduma zetu, mwanzoni tulikuwa sehemu nyingine na wateja wetu walikuwa wakituuliza lini tutahamia sehemu iliyo na nafasi nzuri ya kutoa huduma na sasa tumeipata,” alisema Mponda.
Meneja wa Tawi la Benki Exim Temeke, Subira Augustino akiwakaribisha wageni waalikwa ndani mara baada ya ufunguzi kufanyika wa Tawi la Exim Bank Temeke.
Meneja wa Tawi la Benki Exim Temeke, Subira Augustino akitoa neno la ukaribisho kwa wafanyakazi wa Exim Benki na wateja ambao walialikwa kwa ajili ya kushuhudia hafla ya ufunguzi wa Tawi la Exim Temeke.

No comments:

Post a Comment