
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais, Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akipata maelezo kutoka
kwa Bw. Mutagabaya Mtaalamu kutoka maabara maalumu ya kutunza Vyura ya
Kihansi.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais, Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akihutubia wananchi wa
Kijiji cha Mwantasi Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, aliposimama akiwa
katika ziara ya kikazi ya kukagua masuala ya mazingira.

Mjumbe wa Kamati ya Mazingira ya
Kijiji cha Mwantasi Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa akipokea kiasi cha
Shilingi laki moja zilizotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais, Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba kuchangia Mfuko wa
Mazingira wa Kijiji.


No comments:
Post a Comment