KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 10, 2016

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA KAMPENI YA FAHARI YA TANZANIA NA UTOAJI TUZO KWA CHAPA BORA 50 ZA KITANZANIA MLIMANI CITY DAR

  
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage(MB) akimkabidhi Tuzo ya  Chapa bora  Bi. Mercy Kitomary ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Nelwas Gelato katika hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na TPSF Mlimani city jijini Dar es Salaam Oktoba 7 2016. Mgeni Rasmi alikuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa TPSF, Salum Shamte na Kaimu Mkurugenzi wa TBS, Dkt. Egid Mabofu. (Imeandaliwa na Robert Okanda blogs).

Baadhi ya wageni wakiwa katika hafla hiyo.

Baadhi ya wageni wakiwa katika hafla hiyo.

Tuzo

Baadhi ya wageni wakiwa katika hafla hiyo.

Makamu Mweyekiti wa TPSF, Salum Shamte akiongea kumkaribisha mgeni Rasmi, Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais kuzungumza, kuzindua kampeni ya Fahari ya Tanzania na kutoa Tuzo za Chapa bora 50 za Kitanzania kwa mwaka 2016.

Mshereheshaji, katika Uzinduzi wa Fahari ya Tanzania na Utoaji wa Tuzo za Chapa bora 50 za Kitanzania Bw.  Taji Liundi akiwa mimbarini.

Mkurugenzi Mtendaji  wa Superdoll Bw. Seif  Seif akiwa na timu nzima ya wafanyakazi waandamizi wa Superdoll wakifuatilia kwa makini Shugjuli nzima ya Uzinduzi wa Kampeni ya Fahari ya Tanzania na utoaji wa Tuzo wa Chapa Bora 2016

Meza ya Washirika wakubwa CRDB Bank iliongozwa na Bi Tully Esther Mwambapa Mkurugenzi wa Utafiti,Masoko na Huduma kwa Kwa Wateja akiwa na timu yake wakifuatilia kwa makini Shughuli ya
 Uzinduzi wa Kampeni wa Fahari ya Tanzania na Utoaji wa Tuzo wa Chapa bora 50 za Kitanzania

No comments:

Post a Comment