Mkurugenzi
wa Elimu na huduma kwa mlipa kodi wa TRA, Bw. Richard Kayombo amesema
mwenendo wa ukusanyaji mapato ya Serikali kwa sasa ni wa kuridhisha
katika kufikia lengo la kukusanya kiasi cha shilingi trioni 15.1 kwa
mwaka fedha wa 2016/2017.
Mamlaka
ya Mapato nchini (TRA) imekusanya Mapato ya shilingi trilioni 1.37 kwa
Mwezi September kati ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 1.4 mwezi
huo



No comments:
Post a Comment