|
Meneja Mradi wa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP), Nirina Kiplagat
akizungumza na Naibu Waziri wa Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi
Hamad Masauni (kushoto), wakati wa majadiliano juu ya masuala ya amani na
maendeleo.Katikati ni Mshauri wa Mradi kutoka UNDP, Lawrence Lachmansingh.
Kikao hicho kimefanyika leo, Dar es Salaam.(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
|
No comments:
Post a Comment