KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 21, 2016

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO MH. DANIEL CHONGOLO AZINDUA MRADI WA KUZALISHA UMEME KATIKA KIJIJI CHA KITUMBEINE

dan2
Mkuu wa wilaya ya Longido Mkoani Arusha Mh. Daniel Chongolo na Afisa  Mtendaji Mkuu wa kampuni ya ENGIE AFRICA Bw. Bruno Bensasson wakikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa  mradi wa uzalishaji wa umeme kwa njia rafiki wa mazingira unaoendeshwa na kampuni ya Engie Afrika wenye uwezo wa kuzalisha 16KW na kuhudumia zaidi ya kaya 100 katika kijiji cha Kitumbeine wilayani Longido.
dan4
Mkuu wa wilaya ya Longido Mkoani Arusha Mh. Daniel Chongolo na Afisa  Mtendaji Mkuu wa kampuni ya ENGIE AFRICA Bw. Bruno Bensasson wakiwa katika hafla hiyo ya uzinduzi katika kijiji cha Kitumbeine wilayani Longido.
dan1 
Mkuu wa wilaya ya Longido Mkoani Arusha Mh. Daniel Chongolo na Afisa  Mtendaji Mkuu wa kampuni ya ENGIE AFRICA Bw. Bruno Bensasson wakiwa na viongozi wa serikali wilaya ya Longido na maofisa wa Kampuni ya ENGIE AFRICA wakati wa uzinduzi huo.
dan3
Baadhi ya waalikwa wakikwemo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wilayani Longido wakiwa katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment