KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 3, 2016

NMB YADHAMINI TIMU YA MASHUA MASHINDANO YA AFRIKA MASHARIKI

dsc_0502
Kwa kutambua umuhimu wa michezo kwa vijana nchini, benki ya NMB imedhamini vijana watano kutoka nchini kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindano ya mashua ya Afrika yanayotaraji kufanyika Luanda, Angola kuanzia Septemba, 6-13, mwaka huu.
Akizungumzia udhamini huo wa Milioni 10 na jezi kwa vijana hao, Mkurugenzi Mtendaji wa NMB nchini, Ineke Bussemaker amesema NMB kama benki ya kitanzania inawathamini watanzania wote na inajivunia kuwa sehemu ya makampuni ambao yameidhamini timu hiyo ili ikaiwakilishe nchi katika mashindano ya mashua.

No comments:

Post a Comment