Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea
Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Ghana hapa nchini Kwame
Asamoah Tenkorang Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
Balozi mteule wa Ghana hapa nchini Kwame Asamoah Tenkorang mara baada
ya kupokea Hati yake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea
Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Jamhuri ya Sudan Mahjoub
Ahmed Abdallah Sharfi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Balozi mteule wa Jamhuri ya Sudan hapa nchini
Mahjoub Ahmed Abdallah Sharfi mara baada ya kupokea Hati yake ya
utambilisho Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea
Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Ukraine hapa nchini
Yevhemsi Tsymbalik Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
Balozi mteule wa Ukraine hapa nchini Yevhemsi Tsymbalik mara baada ya
kupokea Hati yake ya Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea
Hati ya Utambulisho kutoka kwa balozi mteule wa Jamhuri ya Slovakia
Frantisek Dlhopolcek Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
balozi mteule wa Jamhuri ya Slovakia hapa nchini Frantisek Dlhopolcek
mara baada ya kupokea Hati yake ya Utambulisho Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akijadiliana jambo na balozi mteule wa Jamhuri ya Slovakia hapa nchini
Frantisek Dlhopolcek mara baada ya kupokea Hati yake ya Utambulisho
Ikulu jijini Dar es Salaam.Picha na Ikulu











No comments:
Post a Comment