Msanii maarufu wa muziki wa
‘singeli’ Rajabu Selemani ‘virusi mdudu’ (kulia), akikonga nyoyo za wakazi wa
kimara na maeneo ya jirani katika tamasha la Uhondo za Zantel katika viwanja
vya Rhino, Kimara, Dar es Salaam juzi, ikiwa ni moja ya kampeni za kampuni ya
simu za mkononi ya Zantel kuwa karibu na wateja wake ikiwajulisha bidhaa na
huduma zao zilizopo sokoni. |
No comments:
Post a Comment