KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 19, 2016

UTT- PID YAKUTANISHA WADAU WA ARDHI DAR

Jomaary Mrisho Satura, Mkurugenzi Mtendaji Manispaa ya Lindi, akizungumza wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya ardhi ulioandaliwa na UTT-PID Jijini Dar es Salaam leo.

Jomaary Mrisho Satura, Mkurugenzi Mtendaji Manispaa ya Lindi, akisisitiza jambo wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya ardhi ulioandaliwa na UTT-PID Jijini Dar es Salaam leo.

Baadhi ya washiriki  wa mkutano wa wadau wa sekta ya ardhi ulioandaliwa na UTT-PID Jijini Dar es Salaam leo.

Michael Mwambogo Mkuu wa Idara ya Ardhi na Mipangomiji na Maliasili akizungumza wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya ardhi ulioandaliwa na UTT-PID Jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment