Ofisa Mradi wa Mpango wa Magonjwa
Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele, Oscar Kaitaba akielezea umuhimu wa
vyombo vya habari kuelimisha umma kujenga tabia ya kutumia Kingatiba ya
magonjwa ya kichocho, Minyoo ya Tumbo, Usubi Matende na Mabusha wakati
wa Warsha iliyoshirikisha wanahabari, Dar es Salaam leo. Kampeni ya
kuwapatia wananchi Tibakinga kwa wakazi takribani mil. 4 wa Jiji la Dar
es Salaam itaanza Oktoba 25 waka huu. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Meneja Mradi wa Mpango wa Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele, Upendo Mwingira akifafanua jambo wakati wa warsha hiyo.
Wanahabari wakiwa katika warsha hiyo
No comments:
Post a Comment