Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano,January Makamba
kushoto akimsikiliza kwa umakini Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)Jumaa
Aweso wakati alipofanya ziara wilaya ya Pangani kuangalia maeneo
kutakapojengwa ukuta wa mto Pangani na Upandaji wa Miti ya Mikoko
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano,January Makamba
akisisitiza jambo kwa watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Pangani
kuhusu kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa ili kuweza kusaidia ukuaji wa
uchumi kulia ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)Jumaa Aweso kushoto ni
Mkuu wa wilaya ya Pangani,Zainabu Issa
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano,January Makamba
akisisitiza jambo kwa watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Pangani
kuhusu kufanya kazi kushoto kwake ni Mbunge wa Jimbo la Pangani(CCM)
Jumaa Aweso kulia ni Mkuu wa wilaya ya Pangani,Zainabu Issa
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano,January Makamba
akisisitiza jambo kwa watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Pangani
kuhusu kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya
Pangani,Zainabu Issa
Mkurugenzi
wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Richard Mayungi
akisisitiza jambo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira
na Muungano,January Makamba kuhusu hatua wanazochukua kukabiliana na
mabadiliko ya tabia ya nchi kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo
Mto Pangani
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano,January Makamba
katikati akitazama namna mto Pangani ulivyoliwa kutokana na mabadiliko
ya Tabia ya nchi wakati alipofanya ziara ya kuutembelea leo kushoto
kwake ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)Jumaa Aweso kulia ni Afisa
Misitu na Kiungo wa Mradi huo wilayani Pangani Twahiru Mkongo
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano,January Makamba
katikati akitazama namna mto Pangani ulivyoliwa kutokana na mabadiliko
ya Tabia ya nchi wakati alipofanya ziara ya kuutembelea leo kushoto
kwake ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)Jumaa Aweso kulia ni Afisa
Misitu na Kiungo wa Mradi huo wilayani Pangani Twahiru Mkongo
Afisa
Misitu na Kiungo wa Mradi huo wilayani Pangani Twahiru Mkongo
akimuonyesha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na
Muungano,January Makamba katikati maeneo mbalimbali yaliyoathirika na
mabadiliko ya tabia ya nchi kushoto kwake ni Mbunge wa Jimbo la Pangani
(CCM)Jumaa Aweso kulia ni
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano, January Makamba
wa pili kutoka kushoto akitembelea maeneo mbalimbali yaliyoathirika na
mabadiliko ya tabia ya nchi kwenye katika Pangani kushoto ni Afisa
Misitu na Kiungo wa Mradi huo wilayani Pangani Twahiru Mkongo


No comments:
Post a Comment