KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 28, 2016

DIAMOND, KIBA MDEE KUWANIA TUZO NIGERIA

Kituo cha runinga cha Sound City (Sound City Tv) kimetoa orodha ya wasanii na vipingele watakavyowani katika tuzo za Sound City MVP.
 
Kwa upande wa Tanzania, katika tuzo hizo tutawakilishwa na Diamond Platnumz, Ali Kiba, Vanessa Mdee, Navy Kenzo. 

Diamond yeye anawania tuzo ya Msanii Bora wa Afrika (Best African Of The Year) na Msanii Bora wa Kiume (Best Male), Ali Kiba atawania tuzo ya Video Bora ya Mwaka (Video Of The Year) ambayo ni video ya wimbo wa aje, Vanessa Mdee yeye akitupa karata yake katika kipengele cha Msanii Bora wa Kike (Best Female) huku Navy Kenzo wao wakichuana kwenye Kundi Bora la Muziki (Best Group).

No comments:

Post a Comment