Waziri
wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Magembe wapili kutoka kulia
akikata Utepe siku ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Utalii Duniani
Siku ya Juma Pili ya Terehe 27, kwa nyanda za juu kusini yamefanika
mjini Iringa katika Viwanja vya Kichangani na kufungwa hii leo.
Waziri
Magembe kulia akifurahia Jambo pindi alipo kuwa akitembelea katika
baadhi ya mabanda ya Wadau wa Utalii walio jitokeza katika Viwanja hivyo
Mjini Iringa.
Waziri
Magembe akipokea moja ya Zawadi kutoka kwenye kampuni ya Ivori Ya Mjini
Iringa inayo fanya vyema katika kuzalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo
Pipi za Ivori.
Picha Zote na Mr.Pengo wa MMG Nyanda za juu Kusini.
No comments:
Post a Comment