KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

March 27, 2017

BALOZI WA MOROCCO NCHINI TANZANIA AKUTANA NA WAZIRI WA ARDHI KUHUSU MASUALA YA ARDHI

ORO
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi akiwa na Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane wakati alipo mtembelea ofisini kwake.
ORO 1
Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane akimueleza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi jinsi Nchi yake ilivyofanikiwa katika kukabiliana na makazi holela kwa kiasi kikubwa.

No comments:

Post a Comment