KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

March 24, 2017

ZANZIBAR KUADHIMISHA SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIA LEO MACH 24

ZAI
Mkurugenzi kinga na elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Fadhil Mohammed Abdalla akitoa maelezo kwa wandishi wa habari na kumkaribisha Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Bi. Harusi Said Suleiman katika mkutano wake na wandi wa habari uliofanyika ukumbi wa Wizara hiyo Mjini Unguja.
ZAI 1
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Bi. Harusi Said Suleiman akitoa maelezo kwa wandishi wa habari kuhusu mapambano zidi ya Kifua Kikuu katika ukumbi wa Wizara ya Afya.
ZAI 3
Mkuu wa kitengo cha Kifua Kikuu (TB) Zanzibar Dkt. Khamis Abubakar Suleiman akijibu maswali yaliyoulizwa na wandishi wa habari katika mkutano wao.
ZAI
Mkurugenzi kinga na elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Fadhil Mohammed Abdalla akitoa maelezo kwa wandishi wa habari na kumkaribisha Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Bi. Harusi Said Suleiman katika mkutano wake na wandi wa habari uliofanyika ukumbi wa Wizara hiyo Mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment