KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 2, 2017

MASAUNI AZINDUA MPANGO WA KUWASAIDIA WAKIMBIZI NA NCHI ZINAZOHIFADHI WAKIMBIZI, LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni,akizungumza  na waandishi wa habari  baada ya Kuzindua Mpango wa Kuwasaidia Wakimbizi na Nchi zinazohifadhi Wakimbizi (CRRF Tanzania). Uzinduzi huoumefanyika leo katika Ukumbi B wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyererejijini Dar es Salaam. Kushotoni Mkurugenzi wa Idara ya Kuhudumia Wakimbizi, Harrison Mseke.  Pichana Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Hassan Simba Yahyaa kizungumza wakati  wauzinduzi wa Mpango wa Kuwasaidia Wakimbizina Nchi zinazo hifadhi Wakimbizi (CRRFTanzania). Uzinduzi huo umefanyika leo katika  Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa  waMwalimu Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam. Picha na Wizaraya Mambo ya Ndani ya Nchi


No comments:

Post a Comment