Mbunge
wa viti maalumu kupitia chama cha mapinduzi mkoa wa Arusha Catherine
Magige akimkabidhi mkurugenzi na watoto wa kituo cha kulelea watoto
yatima cha Faraja orphance kilichopo jijini hapa,kituo hichi cha watoto
yatima kina jumla ya watoto 200 na kati ya watoto hao watoto 30
wanaishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi.
wa
pili kushoto mbunge wa viti maalumu akiwa anateta jambo na katibu wa
UWT mkoa wa Arusha Fatuma Hassan ,wakwanza kulia ni katibu wa kanda ya
kaskazini msikiti wa Twariqatul ndugu Abdi Ramathani
No comments:
Post a Comment