Rais
Mstaafu awamu ya pili Mhe. Ally Hassan Mwinyi (Kushoto) akimpa
maelekezo ya chakua alichokuwa anakula wakati aliposhiriki hafla fupi ya
kufuturisha watoto Yatima wa kituo cha Kigogo iliyoandaliwa na Kampuni
ya Bima ya AAR jijini Dar es Salaam.
Wageni waalikwa wakipakua futari.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Bima ya AAR wakiwapakulia wageni futari.
Mwenyekiti wa Bodi wa kampuni ya Bima ya AAR, Agnes Batengas akiwangoza watoto kwenda kuchukua futari.
No comments:
Post a Comment