KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 26, 2017

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI, ALLY HASSAN MWINYI ASHIRIKI NA WATOTO YATIMA KATIKA FUTARI ILIYOANDALIWA NA AAR INSURANCE

Rais Mstaafu awamu ya pili Mhe. Ally Hassan Mwinyi (Kushoto) akimpa maelekezo ya chakua alichokuwa anakula wakati aliposhiriki hafla fupi ya kufuturisha watoto Yatima wa kituo cha Kigogo iliyoandaliwa na Kampuni ya  Bima ya AAR  jijini Dar es Salaam.
Wageni waalikwa wakipakua futari.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Bima ya AAR wakiwapakulia wageni futari.
Mwenyekiti wa Bodi wa kampuni ya Bima ya AAR, Agnes Batengas akiwangoza watoto kwenda kuchukua futari.

No comments:

Post a Comment