| Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akizungumza wakati akifungua mkutano wa sita wa watoa huduma za afya,
wamiliki wa vituo vya Afya, wataalamu wa Afya kutoka Afrika Mashariki
ikiwemo Tanzania, Kenya, Uganda, Uganda, Burundi, na mataifa ya nje
ambao unaogozwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na
Watoto, Ummy Mwalimu Pamoja na mabalozi na viongozi mbali mbali wa
serikalini na sekta binafsi kujadili mustakabali wa sekta ya afya wa
Tanzania na nchi shiriki hasa jinsi ya kuboresha sekta binafsi.Mkutano
huo ulioandaliwa na Chama cha watoa huduma wa vituo vya Afya binafsi
nchini Tanzania (APHFTA),unatarajiwa kufanyika kwa siku mbili jijini
Dar es Salaam. Picha na Kajunason, Globu ya Jamii. |
No comments:
Post a Comment