Rais
wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akiwasalimia wananchi wa Mji wa Ngara
kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini
Ngara 20 Julai 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimpongeza Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza mara baada ya Rais
wa Burundi kuwahutubia wananchi wa Mji wa Ngara kwenye Mkutano wa
hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara 20 Julai 2017.
Rais
wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mji wa Ngara kwenye Mkutano wa Hadhara
uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara Mkoani Kagera 20 Julai
2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea
Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza mara baada ya kuwasili katika
viwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 2017
Rais
wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akiwapungia wananchi
alipowasili katika viwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai
20,2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa
Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza wakiwa wamesimama wakipokea salamu za
heshima kutoka kwa majeshi ya ulinzi na usalama.
Rais
wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akikagua graride la lililoandaliwa na
jeshi la ulinzi la Tanzania JWTZ katika viwanja vya Lemela mjini Ngara
Mkoani Kagera Julai 20,2017
Rais
wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Mgeni wake Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza mara baada ya Kumpokea
katika Uwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera 20 Julai 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na
Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akiwasalimia wananchi wa Mji wa
Ngara kwenye uwanja wa Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera 20 Julai 2017.
No comments:
Post a Comment