Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini akiwa katika ofisi ya TANESCO, mkoa wa Tanga.
Anayesalimiana naye ni Meneja Wa TANESCO mkoa wa Tanga, Mhandisi
Abdulrahman Nyenye na kulia kwake ni Meneja wa TANESCO kanda ya
Kaskazini, Mhandisi Stella Hiza.
Mhandisi Stella Hiza akisoma
ripoti ya utekelezaji wa majukumu katika Kikao na Kaimu Katibu Mkuu,
Wizara ya Nishati na Madini, Prof. James Mdoe
Kaimu Katibu Mkuu akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa TANESCO, Mkoa wa Tanga, Mhandisi Abdulrahman Nyenye.
No comments:
Post a Comment