Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akisalimiana na
Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt. Mohamed Hamad Al Rumhy alipokuwa
akiwasili kwenye tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman, Jijini Dar
es salaam
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akisalimiana na
Waziri wa Uwekezaji wa Oman Mhe. Salem Ben Nasser Al Ismaily, Kulia ni
Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt. Mohamed Hamad Al Rumhy alipokuwa
akiwasili kwenye tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman, Jijini Dar
es salaam
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akifurahia jambo
pamoja na Waziri wa Uwekezaji wa Oman Mhe. Salem Ben Nasser Al Ismaily,
alipokuwa akiwasili kwenye tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman,
Jijini Dar es salaam
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akiteta jambo pamoja
na Waziri wa Uwekezaji wa Oman Mhe. Salem Ben Nasser Al Ismaily, wakati
akishuhudia tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman, Jijini Dar es
salaam
No comments:
Post a Comment