|
Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Usimamizi wa Bima
wa Mamlaka ya Bima Tanzania (TIRA)
Elia Kajiba akizungumza wakati alipotembelea banda Shirika la Bima la Taifa (NIC) kwenye
maonyesho ya makampuni ya Bima nchini yaliyofanyika jana Mlimani City Jijini
Dar es Salaam na kuandaliwa na Taasisi ya Bima Tanzania (IIT), kushoto ni
Mwenyekiti wa Umoja wa Makampuni ya Bima Tanzania (ATI) ambaye pia ni
Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga na kulia ni Afisa Bima
Mwandamizi wa NIC Konjeta Mwaipopo.
|
No comments:
Post a Comment