Watu
24 wamefariki dunia na wengine 10 kujeruhiwa baada ya Hiace iliyokuwa
ikitokea Dar es Salaam kwenda Wilaya ya Mkuranga mkoanini Pwani,
kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likitokea Mtwara kuelekea Dar
es Salaam.
Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Jumapili Machi 25, 2018 eneo la Mparanga wilayani Mkuranga.
Kaimu
kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Kibiti, Mohamed Likwata
amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kwamba majeruhi wote
wamepelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es
Salaam.
No comments:
Post a Comment