KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 2, 2015

KUTOKA WAKALA WA VIPIMO (WMA):SERIKALI KUPITIA WAKALA WA VIPIMO YAHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA HUDUMA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete akizungumza  na Afisa Mtendaji mkuu wa Wakala wa Vipimo Bi. Magdalena Chuwa alipotembelea banda la Wizara ya Viwanda na Biashara kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani hivi  karibuni      
                                                 
Sehemu  iliyopita ya makala haya tulizungumzia mbinu wanazozitumia baadhi ya wauzaji  wasio waaminifu wanaochezea mizani ili kujipatia faida kubwa, leo katika sehemu hii ya mwisho Afisa Mtendaji Mkuu wa WMA Bi.Magdalena Chuwa anatueleza suluhisho la tatizo hilo. Fuatana naye....



Suluhisho
 Chuwa anasema kutokana na udanganyifu huo uliokithiri  kwenye mabucha, Wakala wa Vipimo umekuwa ukitoa mapendekezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na yafuatayo.
Wamiliki wa bucha kuajiri rasmi wauzaji wa nyama katika bucha kwa mujibu wa sheria ya kazi. pia wamiliki na wauzaji wa mabucha kukaa pamoja kujadiliana namna ya kuboresha huduma zao na chama cha wamiliki wa mabucha kuhakikisha mapendekezo hayo yanatekelezwa.
Mapendekezo mengine ni Wizara ya Kazi na Ajira ifanye ukaguzi wa mara kwa mara kwenye mabucha kuhakikisha kwamba kuwa wauzaji wa nyama kayika bucha hizo wanazo ajira rasmi na haki za msingi na mahusiano zinafuatwa.
Mwisho


No comments:

Post a Comment