KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

August 9, 2015

MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA NEW YORK NCHINI MAREKANI.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York Hajji Khamis akiongea machache huku akisisitiza upendo na mshikmano kwenye Jumuiya za Watanzania hususani zile zilizopo nje ya Tanzania kwani kwa kufanya hivyo Jumuiya zitakua imara.
Mchungaji Butiku akiongoza misa.
Wakati wa maakuli.  

No comments:

Post a Comment