KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

August 8, 2015

WAZIRI MBENE APOKEA MADAWATI KUTOKA BENKI YA POSTA

Displaying DSC_6486.JPG
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene, akiwa amekaa kwenye madawati amabayo amekabidhiwa na benki ya Posta kwa ajili ya shule za ileje
Displaying DSC_6517.JPG
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akimkabidhi katibu wa CCM Wilaya ya Ileje Hamida Mbogo madawati ya kwa ajili ya shule za sekondari na msingi wilayani ileje ambayo yametolewa na benki Posta Tawi la Tunduma. 

No comments:

Post a Comment