Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipekuwa baadhi ya nyaraka
zinazoonyehsa jinsi wizi wa fedha za serikali uliofanywa kwenye
bandari ya Dar es salaam ukihusisha mabenki wakati akizungumza na
Mawakala wa Forodha na Bandari kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es
salaam Machi 21, 2016
.
Baadhi
ya Mawakala wa Forodha na Bandari wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar
es salam Machi 21, 2016.
No comments:
Post a Comment