Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) akiwa mgombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili cha Uongozi
kupitia CCM akipokea cheti maalum cha Ushindi wa Uchaguzi wa marudio
kutoka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha wakati
wa utoaji wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotolewa jana katika ukumbi wa
Salama Bwawani Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiwa mgombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili cha Uongozi kupitia
CCM akionesha Cheti maalum cha Ushindi baada ya kukabidhiwa
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha wakati wa
utoaji wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotolewa jana katika ukumbi wa
Salama Bwawani Mjini Unguja,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiwa mgombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili cha Uongozi kupitia
CCM akisalimiana na Wagombea wa Vyama vya Siasa baada ya kutangazwa
mshindi jana na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim
Jecha wakati wa utoaji wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotolewa katika
ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiwa mgombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili cha Uongozi kupitia
CCM akisalimiana na Mgombea wa Urais kupitia Chama cha ADC Bw,Hamad
Rashid baada ya kutangazwa mshindi na kukabidhiwa Cheti rasmi cha
ushindi na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha
wakati wa utoaji wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotolewa jana katika
ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja,
No comments:
Post a Comment