KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

March 20, 2016

MAKAMO WA RAIS APIGA KURA ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi Samia Hassan  Suluhu amepiga kura viwasini Zanzibar  katika uchaguzi wa marudio unaofanyika leo. 

Bi Samia amrwapongeza wananncji wa Visiwa vya Zanzibar kwa  kukitokeza kwa wingi kupiga kura kuwachagua viongozi  wao. 

Amewataka Wanzanzibar kuwa watulivu mpaka  zoezi hili litakapokamilika na Matokeo  kutangazwa.

No comments:

Post a Comment