Mkurugenzi Mtendaji wa Shule Direct, Faraja K. Nyalandu akizungumza na vyombo mara baada ya mara baada ya uzinduzi wa jukwaa la kielimu la SMS Makini ambalo litakuwa linatoa masuala mbalimbali ya kijifunza kupitia mtandao kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari nchini mapema mwishoni mwa wiki iliyopita ,Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika shule ya sekondari Azania Jijini Dar es salaam. |
Wanafunzi wa shule ya sekondari
Azania ya jijini Dar es Salaam wakielekezana namna ya kutumia jukwaa la kielimu la SMS Makini ambalo litakuwa linatoa masuala mbalimbali ya kijifunza kupitia mtandao kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari nchini mapema mwishoni mwa wiki iliyopita ,Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika shule ya sekondari Azania Jijini Dar es salaam. |
No comments:
Post a Comment