Mwenyekiti wa Umoja wa Waliosoma
Shule ya Sekondari Kigoma mwaka 1991 – 1994 (UWKS) Dkt. Nelson Boniface
akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa kwanza wa Umoja huo uliofanyika
leo katika ukumbi wa Golden Tulip Hotel jijini Dar es Salaam.
Katibu Msaidizi na Msemaji wa
Umoja wa Waliosoma Shule ya Sekondari Kigoma mwaka 1991 – 1994 (UWKS)
Bibi. Elizabeth Bisendo akifafanua jambo wakati wa mkutano mkuu wa
kwanza wa Umoja huo uliofanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip Hotel
jijini Dar es Salaam.
Mwanasheria na Mratibu wa Umoja
wa Waliosoma Shule ya Sekondari Kigoma mwaka 1991 – 1994 (UWKS) Wakili
Msomi Marko Anthony Nsimba akielezea namna alivyoshughulikia suala la
usajili wa Umoja huo wakati wa mkutano mkuu wa kwanza wa Umoja huo
uliofanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip Hotel jijini Dar es
Salaam.
Baadhi ya wanachama wa Umoja wa
Waliosoma Shule ya Sekondari Kigoma mwaka 1991 – 1994 (UWKS) wakiwa
katika mkutano mkuu wa kwanza wa Umoja huo tokea kuanzishwa kwake mnamo
mwaka 2011


No comments:
Post a Comment