KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 5, 2016

HAKUTAKUWA NA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA – DK. SHEIN

shein (1)
Dk.Ali Mohamed Shein.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein amelihutubia Baraza la Wawakilishi leo kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kuiongoza tena Zanzibar Machi 20 mwaka huu.
Katika hotuba yake hiyo, Dk. Shein amesema hakutakuwa na Makamu wa Kwanza wa Rais, hiyo ni baada ya maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi wa Machi 20 mwaka huu, kwa maana hiyo hakutakuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani humo.

No comments:

Post a Comment