KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 5, 2016

KAMATI YA AFYA ILIPOTEMBELEA MUHIMBILI

B1
Kamati ya Bunge ya Afya ikiwasili leo asubuhi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kukagua shughuli za huduma za afya zinazoendelea kwenye hospitali hiyo.
B2
Daktari wa Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali, Upendo Ndara akiwaongoza wabunge kuona huduma mbalimbali zinazotolewa na madaktari na wauguzi wa idara hiyo Leo.
B3
Dk. Upendo Ndara wa Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali akiwaeleza wabunge wa Kamati ya Afya jinsi idara hiyo inavyowahudumia wagonjwa wa dharura na ajali wanaofikishwa hapo kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
B4
Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamis Kigwangallah akifafanua jambo kwa Kamati ya Bunge ambayo imeitembelea leo hospitali hiyo.
B5
Dk Upendo Ndara wa Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali akiewaeleza wabunge wa Kamati ya Afya juu ya upanuzi wa  jengo la kuwahudumia wagonjwa wa dharura na ajali kwenye hospitali hiyo.
B6
Mkuu wa Idara ya Wagonjwa wa Afya Akili, Dk Frank Massawe akiwaeleza wabunge wa Kamati ya Afya jinsi idara hiyo inavyotoa tiba kwa wagonjwa wa akili.
B7
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa, Lawrence Museru akifafanua jambo kwa Kamati ya Bunge ya Afya kuhusu huduma zinazotolewa kwa wagonjwa wa akili.

No comments:

Post a Comment