KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 5, 2016

MAJALIWA AKUTANA NA VIONGOZI WA SABMILLER

SUB1
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akislimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya SABMiller Africa, Bw. Mark Bowman kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam, Aprili 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
SUB2
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akislimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya SABMiller Africa, Bw. Mark Bowman (katikati) na Bw. Roberto Jarrtin wa Kampuni ya Bia Tanzania (kulia) kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam, Aprili 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
SUB3
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya SABMiller Africa, Bw. Mark Bowman (katikati) na Bw. Roberto Jarrin ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa  Kampuni ya Bia Tanzania -TBL (kulia) ofisini kwake jijini Dar es salaam, Aprili 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment