KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 5, 2016

MEMON JAMAAT YAIPIGA JEKI SHULE YA SEKONDARI MIKOCHENI

C1Sehemu ya madawati 160 yaliyokabidhiwa na Taasisi ya kidini ya Memon Jamaat katika Shule ya Sekondari Mikocheni, Dar es Salaam leo (Aprili 4).
C2  Wanafunzi wa kidato cha kwanza na pili wa Shule ya Sekondari Mikocheni, Dar es Salaam wakimsikilza Mwenyekiti wa Bodi ya shule hiyo na Meya Mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akiwahutubia wakati wa hafla ya kukabihi madawati yaliyotolewa leo (Aprili 4) na Taasisi ya kidini ya Memon Jamaat.C4Mwenyekiti wa Taasisi ya kidini ya Memon Jamaat,Yusuf Esack Ayub akisaidiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Mikocheni na Meya Mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda kukata utepe wakati wa hafla ya kukabidhi madawati 160 pamoja na vifaa mbalimbali kwaajili ya kusaidia maendeleo ya elimu kwa wanafunzi wa Shule hiyo, Dar es Salaam leo (Aprili 4). Wanaoshuhudia ni wanachama wa taasisi hiyo, walimu na wanafunzi shule hiyo.

No comments:

Post a Comment