Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Thomas
Samkyi (Kushoto) akizungumza kabla ya kutiliana saini makubaliano
yatakayowezesha wakulima wanaokopa TADB kupata dhamana kutoka PASS.
Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa PASS, Bw. Nicomed Bohay.Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Thomas
Samkyi (Kushoto) akitia saini makubaliano yatakayowezesha wakulima
wanaokopa TADB kupata dhamana kutoka PASS. Katkati ni Mkurugenzi Mkuu wa
PASS, Bw. Nicomed Bohay na na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa
PASS, Bw. Killo Lussewa (Kulia).
Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Thomas
Samkyi (Kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa PASS, Bw. Nicomed Bohay (Kulia)
wakionesha hati za makubaliano yatakayowezesha wakulima wanaokopa TADB
kupata dhamana kutoka PASS katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya
TADB.
No comments:
Post a Comment